Tutsi in Congo being targeted

The repercussions of kagame’s misadventure in congo courtesy of his washington masters

[MEDIA=twitter]1387801708550578182[/MEDIA]

I know that part of congo speaks swahili lakini hiyo funga yeye sounded very kenyan

[B]
" wee nyamasa"

“Ukileta fucho ntakuchapa”

“Tumuuwe afande. Afande tumuuwe huyu”[/B]

Those are too Kenyan. Hiyo crown pia, kuna vile

Noma sana. And that åsshole is ready to drop the machete on the poor dude. Watu hawana utu bane

For God’s sake I thought ufala ingine tukiacha 1960s tukipigania uhuru.

Freaking 2021 na kuna places maisha bado iko ivo?

But what’s the context? From the video, it could be police arresting a suspect etc. Doesn’t seem more sinister than how police behave here while making arrests

Ama KDF wamefika huko

Those are mai mai rebel groups.

No. These are mai mai rebels. They’ve been targeting the banyamulenge since 1990s.

Congo ni kubaya

[ATTACH=full]362301[/ATTACH]
hizi jambazi zilikubaliana KDF waingie congo juzi .Huyo anaita afande nimkenya bila shaka

That’s hardly effidense of a genocide. 1994 kina @Jimit bado wakiwa wanaswing kwa makende za baba zao tulikuwa tunaona river ime-turn red huko Rwanda juu ya wa-Tutsi kuchinjwa. Na hakukuwa camera phones hiyo time. Sahii tungekuwa na more than ample footage.

Tell us more dinosaur.

Inakaa kama acting scene ya tahamaki

Wakitoa kagame huko iko sawa

waafrika hawana dawa,ni muzungu akuje anyoroshe watu raundi ingine hadi utovu wa nidhamu uishe

This is why I’m heading for the moon with Elon Musk. Mambo ya bonobos huwezani nayo …

Bullshit. The video is Kenyan. Mt.Elgon … the guy is speaking kale/sabaot/sebei dialect. “Wants to kill me ×2 …my father my father” he cries.

Generally there is a segment of Congolese that seek revenge on Rwandases invending in there country to oust mobutu.che went to Congo to teach them how to fight, he lamented Congolese dont like fight or die.So a small country like Rwanda to trek over 2000km to achieve there objective, Congolese will never forget the humiliation.

Che Guevara aliboeka sana na Africans.
One of the the first people to discover we weren’t actually fighting for independence.
People were just fighting for their own stomachs.
Must have left such a bitter memory in him after all his sacrifice for the continent