Mahakama itakuja kutupilia hii kitu mbali so my advice to you is chukua loan ya Hustler unjenge limit ikifika huko ma 20K or 30K, stop paying.
Wako na pin yako
You can always change the PIN
Wanafanyia nini?
Wata withdraw pesa yako
:D:D:D
by the time unafika 20k limit utakua umelipa pesa ngapi
do you know why they were verifying phone numbers against ID numbers?
Tunaweka fuliza negative, waibe hio
kuweka pin ilikuwa kupeana consent safaricom wapeane data yako, ya kitambo na ya siku zijazo. bora umeregister kwa hustler fund, usha inama mbele ya kra uchukue sabuni,
Kwani Kenyan garment ndio ya kwanza kukopesha wakenya pesa? Watajilipa aje simu zetu zikiwa na fuliza? Watalia tuu vile walilia kwa youth fund, women fund na zinginezo. Kama private sector with its efficiency wameahindwa sembuse kalemeno garment.
[SIZE=5]Wakenya si mkuwe tu watu wazuri, this once. Mbona mnapenda ku rebel hivi?
Sio @Ngimanene na matharo hata kodi halipi. Halafu anaenda church sunday na anajua Yesu alisema Kaisari apewe haki yake na usitumie flawed weights to cheat the customer.
Unapata @Ngimanene na matharo hadi ni deacon hapo ACK Ruai mother church. Lakini 6 days a week he is conning sirikal as well as customers.
Na Sunday ako kwa church hivi na sunday best :
[ATTACH=full]484062[/ATTACH]
Wakiwa na brother @Abba from Busia :
[ATTACH=full]484063[/ATTACH]
Na bibi yake :
[ATTACH=full]484064[/ATTACH]
[ATTACH=full]484065[/ATTACH]
Yesu naye ako za hapa tu :
[ATTACH=full]484066[/ATTACH][/SIZE]
@Ndindu naye pale Kariokor Adventist Missionary Church of Christ Mother parish after kuiba 50k ya Ruto :
[ATTACH=full]484067[/ATTACH]
If you fail to pay sahau using any banking service including mobile money transfers. Hapa wengi watalia, they are using your id number to track wherever you buy a SIM card.
Mkenya hajawai tishwa na chochote na ndio maana Kenya ni shithole.
Ukiona watu wa IT kama @Sambamba na @Old Monk wamenyamaza hivyo hii githaa hawaongei hii topic… ile ukora wanafanya saa hii. Wacha tu.
Wana print sim cards hivi :
[ATTACH=full]484072[/ATTACH]
[ATTACH=full]484073[/ATTACH]
Sii ulisema tusipochukuwa huduma number tutahamishwa mpaka Bahamas na tena ukasema tusipodungwa sumu ya astrazeneca ya kofid 19 hata matatu na boda boda hatutawahi panda tutabaki kutembea kama mifugo?
Ni kunoma, hii pesa itakamuliwa vilivyo. I know people and I can’t trust anyone when it comes to money. People are completely sick when it comes to money, I tell you.