Tupo kwenye raiti traki na Dikteta Magufuli

Nimetoka Ubungo saa tano hadi sasa sijafika hata Buguruni.
Sijui nafika sangapi?
Sasa ni saa saba na nusu.

Sasa unataka tufanyaje?

Pumbavu kabisa

pole sana mkuu

Vipi ujenzi wa SGR…
Teh Teh Teh Teh…
Mita ngapi zimeshajengwa??

Pole nyingi Mkuu

Kwa miguu?

heading na maelezo tofauti, kama ni folen magufuli nae kaikuta , unaumwa tumbo

Jaribu angalau kuushughulisha ubongo Mkimbizi mwenzetu!!

tupo pamoja hemani ,

Lakini mwenzetu una kiberiti mkononi!

Huko ni mkoa gani?

pole sana mkuu bado kidogo tu folen ya tazara (mandela road) itaisha,kimbembe kitahamia pugu road makutano ya chang’ombe

Duh inabidi uchukue lunch box

Na bado sanaaaaa kumaninaaa

Hahahahhaa

Hilo ndo linanifanya nipachukie dar anyway karibu mbekenyera tupige chaki

Kuna ulazima wakua na air bajaj

Mita 7.34