East Africa Spectre ltd haikuwa imefungwa jana, yet baba alikuwa ameambia wafuasi wake kuna holiday eti wasiende kazi.
Workers wa E.A Spectre ltd walikuwa job kama kawaida.
East Africa Spectre ltd haikuwa imefungwa jana, yet baba alikuwa ameambia wafuasi wake kuna holiday eti wasiende kazi.
Workers wa E.A Spectre ltd walikuwa job kama kawaida.
Ok
ng’ombe za ojinga lazima zingetembezwa
walikuwa wanalipwa overtime
If Baba is genuine, let him tell us why is operating while his goons have made other buissnes close ? I wonder !!
Upus
ata public holidays si workers wote huenda holiday.
Huyo baba alienda kwa gate ya matiang’i akadanganya wakenya kuna uvamizi, matiang’i mwenyewe hakuonekana, na hajawahi confirm izo story za baba.
He forced us to close out businesses
Yaani hata huko mau forest ulifunga posho mill juu baba alisema?
Threats kutoka kwa goons wake, hatukufunga willingly
Huyu ni Ruto ama ni sani
Supporters wake wako mpaka olposimoru forest?
kila soko huwa na idlers wako ready kutumiwa na politicians
Kumbe hata huko wananchi wamechoka na bei ya juu ya fuer, stima, skul fees ya zakayo mtoza ushuru.
:D:D:D huyo ni jsks
The Mount Kenya Kingpin reported to work at 5.am on that day, so it was nothing strange.