Awali ya yote nitoe pole kwa wanajamii forum wote kwa kadhia iliyotukuta kule nyumbani,hakika ilikuwa ni hard time kuishi bila JF…thanks God tumekutana huku Ukimbizini tukiwa tumehifadhiwa kwa muda.
Back to topic,baada ya kuenea taarifa ya kuwa JF imehamia Kenya,Max amekanusha vikali kwamba jambo hilo sio la kweli,kutokana na hali hiyo najiuliza hii JF mpya ina usalama gani? sio janja ya TISS wameaunda JF fake ili kuweza kutudukua kiurahisi maana wanajua kabisa asilimia kubwa watakaokuja huku watatumia ID zao zilezile…
Tuwekane sawa kwa hili Wakimbizi wenzangu.
Naiita Mpya kwa mantiki kwamba tumeanza upya process zote kujisajiri hadi sred zote ni mpya japo majukwaa ni yale yale,ukiangalia jukwaa mama la siasa kuna nyuzi kama 35 :oops: bila shaka umenielewa mkuu…
This is kenyatalk Broadcasting all the way from kiambu. We gonna take a short commercial break then we gonna be right back. Stick around.
Kijana nadhani sisi tuliokuka KT tunapaswa Ku trust the process in a child like faith kila kitu k itakuwa sawa after a while. And hopefully we are safe and tidy. @The Tweet
Jf imeamia huku kivipi,server zimeamishiwa uku au??..kama wangekuwa na uwezo huo hao tiss,wangeshafanikisha hilo unalolisema wakati JF ikiwa hewani…huku tupo kwenye forum ya watu…full stop
Utakua na tatizo mahali hii ni Kenyatalk ni forum kama zilizo forum zingine eg Nairaland walicho kifanya hawa jirani zetu ni kutufungulia subforum ya Jamii Forum ambayo ina majukwaa kama ile yenyew na hili halina uhusiano na Jf maana Max alisha kanusha hili suala