Tumecheka na Nyani tunavuna mabua!!

Sisi watanzania nchi yetu ni kama shamba tunalolimiliki sisi sote, lakini CCM ni kama mfano wa nyani wala mahindi. Kwa mizaha yetu tumewaachia CCM kwa miaka mingi sana kucheza na nchi yetu huku baadhi ya wenzetu wakiamini iko siku CCM watabadilika ivo kuendelea kuwashabikia.

Kila siku kuna dalili kwamba CCM kuendelea kuwepo madarakani ni zahama kwa nchi yetu. Tatizo letu eti watoa mawazo kwamba wapizani hawajawa na sifa ya kuongoza Tanzania ni hao hao CCM na sisi tunawaamini. Hali ya sasa ni dibaji tu ya kitabu chenye kurasa nyingi sana zenye simulizi za mateso kinachoandikwa hivi sasa na CCM na bila ya shaka watoto na wajukuu zetu watakuja kukisoma!

Jf imefungwa?? Au uongozi umeifunga ili kutimiza matakwa ya kupata leseni??

Labda sikuelewa tangazo la uongozi wa JF na notisi ya TCRA.

Tanzania tunapitia kipindi kigumu
Nalog off

Wewe madhila yanayoletwa na CCM umeona la JF peke yake?

Kwanza tuliambiwa msikiti mkubwa ni wa Dodoma, sasa umejengwa wa Dar na ndiyo mkubwa kuliko yote. Wa Dodoma ulijenga na Libya na huu wa Dar umejengwa na CCM?

nipo naangalia itv hapa huko madangwa lindi wanalalamika barabara mbovu serikali imewatenga, nikimwangalia mlalamikaji juu kavaa kofia ya ccm ikiwa na picha ya jiwa halaf na t-shirt ya ccm, kwa ufup yupo full green. Nikatafakari nimekosa jb, nimewaacha waendelee kuangalia wakimaliza napanda juu ya bati nafungua dish naenda kuuza hapo karb na kwa majuma ndara moja

Ndio tulipofika cheaf

Lakini hatutakiwi tukwame hapo hapo!!

Inasikitisha sana kuzibwa midomo kwa matakwa ya mtu mmoja mkuu ilhali taifa Ni letu sote so sad Ki ukweli imeniuma

Wewe ni kichwa box kweli yaani hujui kinachoendelea,pumbavu kabisa wewe.

Chief sio cheaf

Punguza matumizi ya Bangi mkuu…

Hili jamaa ni pumbafff sana @Stroke

Chizi wewe

Hhhhhh

Umekuja fanya nini hapa? Si usubiri mpaka hapo itakapofunguliwa.

Nyani

!
!
Maamae

Kuwa na baba kama jiwe ni hasara

mange aliwaambia muandamane mkaishia kujifungia chooni na kujipiga selfie tu

Ndiyo kucheka na nyani huko!!