Truckers/Motorists Beware

[ATTACH=full]207055[/ATTACH]

Mimi hata na dawa siwes simama kubeba ama kusaidia mtu kwa njia… I drive like I am being chased / in a race…

Hiyo stretch ya Mai mahiu to Naivasha kutoka kitambo imekua na cases za carjacking sana.When amarios was alive ndio kulikua kubaya zaidi