Kama sina doh na ninadai kufika Kitale then Turkana kutoka Nairobi na hizi lorry za mzigo, nitakachora aje. Wajanja wanichanue…
Vaa kama Dem alafu Patia dere mkia.
1 Like
Ingia LTF forum hapo MKZ utapata lift
1 Like
Lazima upeane mkia kijana