Top 40 Under 40 Men Ke

[ATTACH=full]71828[/ATTACH]

What you think of this? Hyperbole? Who could it be?

Cellulant or Mode

Will go with Cellulant think Julian is over 40. Would like to know what they did with the 100K

@Gio sons and Friends Ltd.
Hospitality, Technology and Cheki Manenoooooooooooooooooo

3 Likes

Giosm tu

Wewe kwanza hama nyumba ya mzazi kisha uongee kwa baraza la wazee, unapata E- na bado unaishi na mzazi

2 Likes

Kaa tu hapo nitakuwa kama mjamaa yule jamaa wa Faimba ako kila industry

Sihami, meffi

Nyinyi ndio wale mlikuwa mnaulizwa wanaume aina gani? Unatafutiwa chakula na mama yakona wewe kazi ni kushinda huku ukipayukapayuka vile wewe ni ndume? Hama hata kama ni single room

Hehe mwenye anatafuta hateti wewe ni nani? Btw ulisema after ile expose yako ety cooking lessons will continue what happened?

1 Like

Mzee mijinga bado unaishi kwa nyumba ya mama, unapikiwa na mama yako? Na unajiita mwanaume, hamia kwa pigsty uache kusumbua mama

Najijenga kwanza, nikitoka hapa next year ntakua na biashara… Hakuna haja ya haraka kisha nilemewe na rent ya ile choo yako iko ndumberi :slight_smile:

Jamaa wa dry spell makei ya blue anakupea advice? :D:D

2 Likes

Na ukihama ujue rent ni tarehe 5 na diedaga urimu nii takataka hii inajiita toka mbio ghasia chieth nakujianga slices kwenyu

2 Likes

@Mzee mzima Mbona kuderail thread hivyo, ION sasa ukipata same wewe humpeleka kwa mum?

No witikire kuhaicwo kana kuradurwo nyubaini ya muciari?

Niaje mungiki impure blood

Hehehe Mutiso mimi ni 100% pure blood, ile mnaskianga Mt Kenya Mafia Wamathuraku is the face

Kwa hostel, pia wewe unaeza letwa ukicheza

Tree Top juice ! Pale juja