[ATTACH=full]198251[/ATTACH]
[ATTACH=full]198252[/ATTACH]
[ATTACH=full]198251[/ATTACH]
[ATTACH=full]198252[/ATTACH]
Manze si kenya si hubebwa ufala…Ata utapata anakuja for one month noma itulie…hawa wanafunzi wakanjwe kakitu then mse arudi kupractice medicine majuu.NEPOTISM ilikuja kurudisha kenya nyuma…but what do you expect kutoka kwa governor aliingia na KANU…mother of all nepotism
He’s allegedly an unpaid officer, Lonyangapuo alisema they used to pay him 100k as a County Medical CEC but since he resigned, he gets no salary as an absent deputy governor.
Sasa kazi yake ni gani if at at all, he’s unpaid and unavailable? Very @Mediocre indeed…wanacheza @Brikicho Bantureh na wananchi wa West Pork
I heard the stupid governor trying to defend him ati he has bn away facilitating the donation of some medical equipment he recently received from the u.s… i swear ningekua karibu nayeye angekula kofii.
:D:D:p…i see what you did there…i see
lakini primitivity huwa hizi area aki…unaeza pata waliamini
EACC is a moribund useless institution , this is abuse of power
Sonko is all alone… And doing fyne! Kwani iko Nene!?
Name any 5 deputy governors (10marks)
What is the work of deputy governors (20 marks)
yule alikua akipeana mkulumbeti kwenye gesti?
[MEDIA=instagram]BoOEy55HYfy[/MEDIA]