Start your day with a laugh from non other than future Churchill comedian P.Mwangi
Wazazi wajue jina ya maana:
CEO wa Safaricom
ako na billions na anaitwa BOB
Wewe unaitwa RICHIE / MILLIE na uko na deni ya makaa
MARIAM kwenye Biblia alikuwa BIKRA aliolewa na FUNDI SEREMALA Josefu
Lakini wewe hata sio BIKRA unataka uolewe na BILLIONEA
unawazimu?
Mluhya ata apate job bank atasema ako kibarua but ngoja mjaluo apate kazi ya kufyeka aga khan "I work at a state of the art health facility
Nimebuy chips ati nikulie kwa mat mtoi wa matha
amekaa next to me akaanza kuzililia imebidi nivae
earphones
My boss anakuwaga bachelor amenisendia text “mambo” nikamujibu “oa” badala ya “poa” sasa amenishow Kesho nisiende job
[ATTACH=full]86157[/ATTACH]
Naskia the above ni @Some Say
13 Likes
funny, i liked number five…you might redeem yourself yet…
5 Likes
Wewe ni piriton. Naskia usingizi tena.
7 Likes
I smiled…pia kwa number 5.
Wacha ata mimi nichangamshe kijiji…ati ata fundi akuwe hodari aje, hawezi repair breaking news
4 Likes
ndo maana @Some Say huvaa helmet azibe mdomo asiweze kunyonya kidole…isorait!!!
4 Likes
Ata mimi wacha nijaribu moja.
Kama Raila anakulaga miraa akienda Meru, mbona asivute bangi akienda Kisii. Nilikuwa niulize na je akienda Koinange Street lakini nikaona nitarushiwa mawe.
6 Likes
Mathaais:
Ata mimi wacha nijaribu moja.
Kama Raila anakulaga miraa akienda Meru, mbona asivute bangi akienda Kisii. Nilikuwa niulize na je akienda Koinange Street lakini nikaona nitarushiwa mawe.
Umeniharibia siku mapema sana. Sasa ntaona joke zote leo ni wana.
2 Likes
Elin
March 2, 2017, 6:38am
11
Congratulations, umenichekeza sana, keep them coming!
2 Likes
system
March 2, 2017, 7:01am
14
Finally villagers have accepted him for who he is.
1 Like
You have to like his persistence.
1 Like
Elin:
umenichekeza
Eish pink handler…kujia swa lessons…na ukuje umevaaa kanga bila chupi…
1 Like
:D:D:D:D:D Hizi smart phones taonyesa sisi maneno. Apo kwa number 5 imenkumbusha a lady I was vybing jana alafu predictive text inanianika.[ATTACH=full]86193[/ATTACH]
2 Likes
system
March 2, 2017, 9:27am
20
@Peter_Mwangi81 nikuhot hadi kuku zinataga mayai boilo!!!
I think you and me can work!
1 Like