I have mixed feelings on this.
We are using the house levy as it should be used. We are fixing the handshake
Projects za Amerika hizi
Watengeneze soviet style flats
Watu wa kutombana Majengo chuma chenu ki motoni.Mtakua mnaingia kwa ma curtain na kutoka unajiona umepostiwa ktalk na jamaa ako 7th floor kwa hizo ma flats mpya zita replace ma nyumba za shaurimoyo
another Bronx loading. Hapo gunshots zitakuwa kila siku mkilala
Wewe na nani na unashindanga hapa ktalk ukiwank
They should have started with Kibera. Evict all those slum dwellers and put up decent houses
Iyo si ilikuwa project ya kidero? Na alikuwa ashapata waarabu wakujenga?
Looters and destructors will be the last ones to benefit anything from the government. Rao was the area Mp there for 40 years akiwagandamiza.
Government is broke anyway let’s see where they go with this
You should know that after Nubians, kikuyus ndo waliform the largest ethnic group in that trench called kibra. Luos & Luhyas walkuja tu the other day. Same kikuyus moved out to other places that later became ghettos too like kiambio, Mathare valley. My point is kikuyus ndo pioneers wa ghetto uku Nairobi. Most of them suffer ata kuliko other tribes judging by their numbers In Nairobi ghettos (mukuru, Mathare, korogocho, dandora, kiambio, etc)
Let’s stop this profiling ya sjui tribe gani Ina suffer most.
Shari Moho ni Moja tu. Mombasa wamefanya ivyo sana pale changamwe. It’s better for the more. Unapata huyo mtu hajai lipa national housing miaka kama 15, somehow wako tu hapo 3rd generation and wale wanalipa ni 4500 , 3 bedroom in a plot area ata place ya kulima.
Most of these estates occupy alot of land which makes them uneconomical.