This one remains a talker until proven otherwise by the court of elders

Wenye mnachukua masingle moms mnapata za keg jioni??

wanaume waache kuongea sana. huyo anahojiwa kwa mtaa duni slums, lazima ao watoto wake ni chokora

Huyo mjamaa ata za kunyoa nywele hana za kulea mtoto ndizo atapata?

Aah sasa nimeelewa hii watu ya MGTOW:D:D:D:D:D:D

ata kama maze iyo mzee imechoma mbicha saidi…

Hahaaa… Lakini jamaa si unaskia anamaintain kunguru vizuri na ata bwana anapata za keg

:D:D:D:D Huyo ni peasant

Huyo ni peasant @Bl3ze, mtu wa mashida building castles in the sky at his local jaba base. Then he comes here na hekaya za abunuwasi about his escapades with kungurus.