This one bongo song

I’m not a fan of bongo music, but this one killed it. It takes me a way back to the days I was a mbachera na my mdengez alikuwa anakuja na CD ya bongo anacheza favorites zake. Na hii ndio ili ni nice na ingine ya Diamond kwa jina “Mawazo”. na ingine ya sam wa ukweli “sina raha”.

Miaka ime songa kweli.

Skia king Kiba pale kwa background, na the ka baze.

7 Likes

Hizi old school east african hits are pure fire. Kuna Dj flani hapa Ld anapenda kuzicheza huwa ananibamba sana. Hizo madays music producers walikua sawa kabisa. Nilikua napenda vile huyu jamaa alichange beat ikue reggae kwa minute 1:36.

2 Likes
5 Likes
2 Likes

@Yuletapeli jaduong angusha mbagala na binti kiziwi. Ifuatwe na kuku kapanda baiskeli mbaya kavai nyooori. :green_emoji:

3 Likes

Now this was good music. Keep resting well Mr Sam

2 Likes
6 Likes

Vaileti by Matonya
Mikasi by Mangwea
Kidato kimoja by AJ

4 Likes

Safi sana saidi.Mtwapa memories circa 2009-2012

4 Likes

Mistari tu!

3 Likes
4 Likes

Crazy one here

4 Likes

Kulikuwa na ile channel ya Bongo music back then…was broadcasting from TZ…music mostly i forget the name

2 Likes

Channel 5

3 Likes

Mkuu tuwekee zile kali kali za RayC kama bado alikua mali safi mwenye kiuno cha nyigu kabla aonje cocaine

4 Likes

Hehe, memory yako iko mufti.

2 Likes

Ndio hiyo mkuu

3 Likes
2 Likes

Sam alikuwa mnoma

2 Likes
1 Like