[MEDIA=twitter]1566837121062666242[/MEDIA]
Panya buku aka Kadzora :D:D
https://nitter.net/pic/orig/media%2FFb6GC7mWYAEZbeS.jpg
paka ikiona hii inahepa walai
No wonder @poyoloko haezi pona kisonono if this is what he eats.
homosexual @poyoloko anajitoa machungu na panya after babuon lost:D
mtu meffi sana
This is a sewer rat…
hivo ndo black plague ilianza… rodents hubeba viruses that can withstand high heat
Wacha mgiriama aenjoy mlo wake. Santi carzola.
Muhogo fry, uupasue na uunyunyizie juice ya ukwaju na masala( carbohydrates) + Carzola dry au pweza boiled in coconut milk ( protini) + mchicha ulioongezwa viungo kama nazi iliokunwa, maziwa ya nazi, tomato na kitunguu viazi( vitamini).
Halafu mnashangaa mbona hustler Omar Lali anazubaisha binti wa billionaire, na kwanini watalii hupenda pwani? Siri ni sekede top notch.
Kadzoras are tiny[ATTACH=full]463904[/ATTACH]
…thats a panya buku alright a.k.a field rat
:D:D ni Bora nyama ama nyama bora
Nakuona,wewe ni wa jenga mwili haribu jina
:D:D:D ukifika Nigeria unatengenezewa pepe soup, fufu na nyama chom ya hao panya. Tamu kama sunguch.
side note; jana nilikula muhogo fry, jioni khupipi aliona moto - ni kama kuna ukweli hapa
[ATTACH=full]464208[/ATTACH]