ni vitu gani we hufanya watu wengine huona kama si kawaida?
i find it hard kulala kama sijajifunika mpaka kichwa yote ndani ya blanketi…ata kulala nikiangalia juu sipendi.
nawekanga sukari vijiko nne kwa chai…wen no one anangalia off course:D:D
ni vitu gani we hufanya watu wengine huona kama si kawaida?
i find it hard kulala kama sijajifunika mpaka kichwa yote ndani ya blanketi…ata kulala nikiangalia juu sipendi.
nawekanga sukari vijiko nne kwa chai…wen no one anangalia off course:D:D
Jeez spoons nne yawa kwani kikombe ni size gani?
Kujikuna makende
Pulling out my beard there’s a time I pulled my moustache kujiangalia kwa kioo nilikuwa kama hitler
You have trichotillomania.
I can’t eat food without water and I also take books and magazines to the toilet.
any kikombe …ni addiction
I suffocate when I do that.
kuseparate nyanya kutoka kwa food when eating…fuckin hate cooked tomatoes
poking the nose kila siku kwa mat, alafu nakula
Mosquito zikinisumbua sana najifunika kifudi fudi
na ukishuta usiku huko ndani
siwezi nimezoea
Hehehehe tuko wengi bro. Mimi hutoa plus vitunguu mbele ya watu you got a problem with that go jump over a cliff. My mum aliniongelesha akachoka
for me its the opposite. I have a phobia of covering my head when sleeping hata kuwe na baridi aje. Naogopanga i might ran out of oxygen huko ndani ya blanketi and die slowly in my sleep
With me lazma niache shimo ya hewa.
and when do you resurrect? Look, a miracle man…
:D:D:D:D:D
@xuma unahitajika hapa
“Suffocate” infers several meanings. When it comes to English grammar, I can take you to school right now.
mbu waliniumiza siku mingi nikiwa kuria na bungoma mpaka nikazoea kujifunika kila mahali isipokuwa pua pekee…