thiefery in nairobi

the way wasee huibiwa nairobi is outright alarming manze. so kuna huyu msee anafanyanga job tao kwa movie shop anaitwanga alvo. alvo jana alikuwa ameishia kumeet na joni. alikuwa ashikiwe nyama na machupa kadhaa wakicheki UEFA. nilichapia alvo tusonge na yeye ivo akadinda nikasema ni sawa.

alvo alifika joint flani inakuanga along thika road akapata joni akipiga story na msee flani hapo. akawajoin wakipiga story wakichapa chupa za guiness wakikula nyama. alvo aka assume huyo msee anabonga na joni ni beshte yake. joni akaskia kumwagika akashow alvo wacha afike ivo urinal amwagike alafu atarudi.

huyo msee alikuwa na joni akashow alvo
“brathe niaje si uniokolee na tenje yako nivutie msee flani yangu kuna venye imekatika nare”

alvo kukuwa msee mpoa akamdunga. huyo msee akajitoa nje juu hiyo place ilikuwa na kelele. vile alitoka ivo ndo alienda alafu joni akarudi. huyo msee aliacha beer yake hadi nyama. after kitu dakika 8 ivi alvo akaanza kuingia kibaridi hivi kiasi akauliza joni

“msee beshte yako ameenda wapi”

“beshte mgani huyo”

“si huyo msee ulikuwa na yeye hapa”

“huyo msee hata simjui nilimpata hapa tukaanza kupiga na yeye story”

“fuck! manze nimemuwai tenje yangu akidai yake imezima aende avutie msee”

“hapo umechezwa jamaa wewe hata ungemuuliza kama ananijua?”

“vile mlipiga story nilidhanj mnajauana manze”

“mi simtambui. msee we umetokwa.”

na hivo ndo alvo alitokwa tenje. the thief didnt even break a sweat.

thiefery in nairobi is high level my friend. hapana cheza.

nini inaendelea hapa

:D:D

Unasema nini?

Trick is as old as mobile phones

ujinga ni mbaya sana. we unashinda ukiuliza nasema nini na wengine washaelewa. ulienda shule gani lakin?

:smiley: Anaitwanga Alvo…

A lady was conned of her phone by someone she knew (or thought she knew).

Rule no. 1 Don’t give your phone to anyone.

Wezi wa Nairobi aki…

Soko ya simu za kuibiwa haijaisha,vile kununua simu ya kuiba ni high risk

Are you from Cuba?

Joni alimcheza.

Nyama ya alvo iko wapi nikule?

never.trust.anyone.you.meet.in.Nairobi.

amenichapia iyo story nilkpasuka yangu yote

You can get mtu ulikua unajua kitambo anakunyanganya simu hivyo tu

Ndo umuhimu wa kuwa na kamulika mwizi together with a smartphone. Hio unatumia kama uko na watu kama hao.

msansi kuko vipi my friend?

Kuko poa wakameat.