Tumelemea huyo mama sana everyone is on her back on how she and Ruto have stolen billions of our money but lets take the poll we are anonymous no one will judge you .
Given the chance would you loot public coffers for your own benefit ? mimi kwanza ningeiba na nirushe ma mastermind kina waiguru na cartel nipotelee Cayman islands na hio 5 billion , tupatane huko kama kina Margaryan wamenipea army yangu ya ku ni protect .
chief 5 billion hata ukishikwa na Obama atakupeleka wapi na pesa umeficha visurii ? kama walishindwa ku extradite Okemo na naskia anasimama gavana next year .
Bila kutaja watu mmoja mtoto wake alijinyonga… Mwingine has a very sick kid nadhani ni brain tumour but hizo story za watoi hua zimekanyagiwa ukifuatilia u would be shocked… Baba last born ni alcoholic kupindukia daughters wako divorced if am not wrong
Ile Golrdenberg inasemkana karibu Kenya mzima ilikula bila kujua. Not sure how, but I’ve heard it in many circles. NYS kuna boy wangu alikula bila kujua, after kesi ianze, ndio akaambiwa. Alijaribu kurudisha haraka lakini hakuna mtu hushika simu, so anachill akingoja jina yake iitwe!
In my industry i meet these crooks na hao husema kutoa swara the money has to be distributed all over like ukiiba 100 million 20 million lazima irudi kwa wananchi so wewe ukikunja mkia kwa bar jamaa awarushie beer tano tano mujue swara zinawaandama pia but a small dose of it .