Finally mujamaa amesomewa hukumu yake. 4 years ndani ya neti for being in possession of Mairungi. Mbica ya yout ndo hio.
[ATTACH=full]70459[/ATTACH]
FILE PHOTO
Finally mujamaa amesomewa hukumu yake. 4 years ndani ya neti for being in possession of Mairungi. Mbica ya yout ndo hio.
[ATTACH=full]70459[/ATTACH]
FILE PHOTO
Mairungi ndio lugha gani?
Kush unaongea kuhusu nini? Huyo ni nani
Damn…4yrs, Alafu after hio 4 yrs ni deportation ama?
@Jazzman…mauringi =miraa
@Ebru, the guy was caught smuggling miraa into Dubai
Pole kwake. Sasa wale wanamtegemea huku pia ni kuanza kujipanga.
Mairungi ni wingi wa Turungi ama?
Alikuwa anado job gani huko
Unadai vacancy nini? :D:D
:D:D:D:D:D
Yea. After 4 years ni deportation never to ever set foot in the uae
Was an electrician. Unadai hio post nini?
Zi just curious
Embassy ya Kenya si imtete a deportiwe tu saa hii…sasa enyewe sheria ni punda
Hii stori ni noma,utapata jamaa alifanyiwa harambee huku kenya na folks wake ndio apate life poa majuu
Waaa that is harsh. In the E.U ukiwa deported, unapatiwa suspe ya 5yrs never to set foot in any E.U country but ma-ordinary (Nigerians kwanza)urudi chini ya maji alafu wanatafuta mwoman mlami wanampatia ball…once una mtoi huku sana sana Germany hakuna mahali wanaweza kupeleka
Damn…
yeye pia i think alikasirisha waarabu kuchafua mairungi kuweka ndani ya socks
Mwarabu na drugs ni zero tolerance esp kama wewe ni nyeuthi ya Africa hakuna chance. Mboyz ako lucky to get away with 4 years
May he not drop the soap
Sand niggars might DFHKMNKMN
Jela ni ile ile ya sandwich for lunch na maflat screen kule ulikua umetupwa juu ya tei