The Jubilee crisis deepens

[MEDIA=twitter]1624029765064699906[/MEDIA]

@Electronics4u kwani mliuza kijiji?

Yani kwa i cesspit yote na venye imejaa ata watu wako na degree hamuwezi patia mtu mwingine kazi Lazima mtoe shagzmondo kwenyu mumfanye admin…shenzi sana @Electronics4u @administrator

Mtu anakuwa recruited into Kijiji Jana jioni Na anaingia Na customized handle Na wengine tumekaa hapa miaka nenda miaka Rudi tukiwa NV.alfu jsks akipea watu wake kazi,ma umbwa akina @Electronics4u wanateta Ni nepotism!!

@administrator is a retard!!!

but jubilee died after August election

NV hatukutambui @mnyambo hii

Uhuru is the chairman of Jubilee and until he speaks hiyo yote ni kelele.

Huyu simjui Wadau.
Maybe am about to be retayad Wadau :eek:

Patia uyo NV kiti

He sanctioned this.
Kubali yaishe.
Tuko ndani ndani kaa thong

Kwani huku hamna hata memo? So utatemwa kama @Old Monk

Cheza shini Mdau.
Sitaki kupotesa kasi na penshen.
Priss.

Hii umefii haimalizi hii mwaka.

:D:D umekuwa huku tangu 2017

:D:D:D:D

who really cares

Hii timu yenyu sio njegaaa!!

Nimeona falio yangu imeshuka shukushuku after Kijiji kuuswo.

Konyagi has started edging closer to pork wsr.
Soon Konyagi family will start meeting the pork. Baba strategy failed, they will go to where power is.
Baba aendelee kupayuka alone hadi Ameee akili and hand over to kalonzo or oparanya