The breaking news I promised.

Habari ndio hiyo. Lockdown manenos

Chief lakini si tell your cousin wakenya wamechoka

Kenya needs a sobber president

People are dying

Are the individual counties locked down ama ni collectively as a block?

I will

Ni individual

Chifu nilikuwa niingie nairobi leo nisalimie kunguru sasa itabidi nipigie watu wa nairofi through pass

Very true

Collectively as one… Ukiboekea Nairobary unaweza enda uko Kajiado ama Machakos

Western Kenya kuko Safi kama Pamba

Noogle! You should have been more explicit. I released my kunguru to go upcountry this morning. Sasa hiyo vaseline yote itatoka wapi?

:D:D:D:D

KURONA IS A SCAM AND A HOAX! lift the restrictions

Unaeza enda Monaco

Pole Sana brother. Tumia safisha mecho

Hehehe. Pole sana

Chifu I asked you if it was good or bad! Wewe sasa ni village headman. @Purple to execute demotion, effective immediately.

Tamu sana, hakuna kuenda Monaco bar and grill pale Nakuru. Grand pricks utaionea kwa bedsitter mujamaa

Kanguruwe niaje