Thai thathaia ngai thai

Tuko tu hapa na wazee wenzangu.
Baadaye threshold
[ATTACH=full]111147[/ATTACH]

Thaai njamba iitu

[ATTACH=full]111148[/ATTACH]

Shait naona umechoshwa na maini yako

Afisa naona umeamua shang’aa pia ni kinywaji.

Reminds me of @Njamba Huthu .

Ruhia, Buda uko ruracio?

House party manenos

Thaaai

Hi incognitus…mwenjoyo tupu kwenye niko. More wine waiter please.

Naona mkutano wa Mungiki umeanza

http://i.imgur.com/XpBIkaQ.gif

Vile nimekuja mbio kuona thighs?:frowning:

iko shida?

anko naona umekuwa relageted hadi 3rd division

Ukikua na fwends wenye mlianza tene unakunywa kitu wanakunywa sio kuanza kuitisha ma single malts…btw nimeamka nikiwa fresh no hangover

Apana nilikuwa place tu na wazee wa kiambu. Muratina ni noma, ndio kuamka.

Mungiki thread ,meff in my eyes,taking mumaa.

Thaai. by the way nimesomewa sana na wazee after kudance na ruhia. I have been told niketi pale-----------> mpaka nifike level ya kutumia ruhia after kutoa mbuzi tatu. Wazee wa kiambu wako na maneno but I really appreciate their advice.

Cheza chini jirani, funda.

Nilijidanganya hivyo 2 weeks ago, nikapiga Naps, nikaenda auto-mode, sijuivile nilifika home and puked like a sick dog, inabidi ukubali kila pombe ina wenyewe.