Kuna taarifa nimezipata kwa mtu mmoja mkubwa tu na yupo pale tcra na anajuana na wakubwa mno
Kanitonya kuwa jamiiforums kurudi hewani mapema ni ndoto na akasema hata ikija kurudi itachukua miaka mingi sana
Unaambiwa usimuamini mtu yoyote hao wenye jf wenyewe wanapoozwa na mkwanja
Hivi mnakumbuka ile issue ya kabla ya maandamano ya tarehe 26?
Mnakumbuka jf ilipotea ghafla??Basi unaambiwa ni jf wenyewe waliamua kwa amri kutoka juu
Hongera kenyatalks kwa kutukaribisha
Cha msingi tufanye hivi kama ulikua na marafiki mnaojuana kule jf ni muhimu kuwajulisha waje humu wahamie huku ili tuendelee kuwa wengi
Kila mtu amuinvite kila mwenzake anayemfahamu ahamie huku
hahaaa pale jehanam, mkuu kuliko kumwamin mwana lumumba au tbc bora uingze vocha ya halotel kwenye voda yaweza ikakubali kuliko hawa viumbe, sina uhakika hata na mpira wanao onesha tbc yaweza hata iwe wanatuchezeshea PS fifa 2018