Temptation

Si unajua mi nlisema story za bibi za wenyewe sitaki. Sasa jana mnigga nimeenda kutembea mtaani. Kidogo ivi nacheki mama flani, ye huwanga ni neighbor. Akanikaribisha ninywe chai kwake, bwanake huwanga ni DDO.

Tumeingia kwa nyumbake ndo sasa nkaanza kumuadmire. Ye ni yellow yellow, and a momo, ile figure exactly I dream about. Sasa mama alikua amefunga shuka, akaingia penye anaingia akachomoka minus shuka akawa amebaki na miniskirt ingine. Walalala, enyewe miniskirt hutoanga figure za watu. Raza ilitoklezea design ingine, mpaka mnigga I was tempted to touch. Raza inatoshana na superdrum. Na ni kama alkua ananiringia sababu venye alkua anatingiza. Wah!

Ilibaki tu kidogo nizishike izo mattercore, na ningezishika kabisa nizifeel, ningefaint.Na bado ata sijaona mapaja. Yaani hiyo raza iliteka akili yangu nyara, but nkakumbuka chenye ilifanyikanga last time mnigga mwingine alipatikana kwa hii boma. Alirushiwa kisu, akamiss, akarushiwa rungu, akamiss, akaenda akiendanga. Nikashtuka, nikaanza kufikiria na akili. Wakubwa, nawaambia ilibidi nikanyagie iyo mpango, ilibidi nmejitoa mos mos.

2 Likes

Raza…ndio nini?

4 Likes

10001 ways to die

4 Likes

aki …kwanza DDO

2 Likes

mkia, mattercore,

1 Like

ok…i think am old

2 Likes

DDO kwani inamaanisha nini kwako?

soldier :rolleyes::rolleyes::rolleyes:

1 Like

I think he meant daily drinking officer

6 Likes

Umejaribu tu lakini creativity missing.Hii Ni story ya Kawaida

he he okay :D:D:D

1 Like

This is what I mean

Kama jamaa ni DDO unakula once then unakaa mbali

copy paste detected

1 Like

Bana…
Tusaidie na sketch please.

1 Like

hizi yellow yellow ni zile za shimo bwako omwami hatoshei

lazma umezoea copy paste sana we mwenyewe

umeangusha mahiti

very soon your head below will take over your reasoning faculties, and when that happens invite us your funeral in advance, a fallen fisi must be acknowledged regardless