Tembea Nyeri...

@Deorro weka section ya tembea kenya…

When the road beckons!

[ATTACH=full]164787[/ATTACH]

[ATTACH=full]164788[/ATTACH]

[ATTACH=full]164789[/ATTACH]

[ATTACH=full]164790[/ATTACH]

Road to ihururu… ama sio my fren?

Guilty as charged:D:D:D

Hii kona iko pande gani msito?

Lovely sights.

On your way to Ihururu…

[ATTACH=full]164791[/ATTACH]

Say what you will about Kenyan politics , corruption and the economy in general, Mimi huona hizi barabara built to international standards and reaching out equitably to all corners of our beautiful country, najiambia quietly… Tano tena!

Last weekend nilipitia hiyo barabara ya kutoka Thogoto on southern bypass, thru. Gikambura, Kamangu, Thigio and then to Mutarakwa on the Limuru to Mai Mahiu highway. Thogoto to Kamangu road ni mbaya sana, very deep potholes, but from Kamangu the road is nywee and has very good views. There is a contractor on site, akimaliza kazi that road will be an option kuhepa jam ya gitaru

Ihururu…nimeoa huko. Almost kepeleka dowry.

[ATTACH=full]164848[/ATTACH]

Wooi woooi umenimaliza na hiyo nyama. Lakini what are the cups for next to nyam chom?

Supu na ile uji fermented ya wakikuyu.

Ya kunywa thubu.