Hapa ni wapi? [ATTACH=full]81545[/ATTACH]
Mandera, hiyo “desert” has power. Things are changing for the better.
Nope bana, teremka chini ya equator.
huku ni msa road, malili ama mbele zaidi,hapo ni kiwanja Ya @Meria Mata kuangalia kama pressure diesel Iko Sawa by emptying 20litres kwa mtungi.
leta picha zingine
huku lazima iwe ni ukambani
Hehe kumbe @meriamata hufanyia makamuzi hapa! Ok mbsa road wapi haswa?
Wapi?
Yep you got it! Niko hapa Kabesta, btw this guys wako na kanga(Guinea fowl) What is the trick ili zisikimbie, Would love to have a few of them pale our Ndabibi farm Naivasha.
Tafuta kamuti
oo vaa
Hapa ni kwa kina @kingolonde , mwisii wa diesel na tyres
:D:D:D:D:D senzi!
When did it rain?
Kabesta is advertised so much in njata tv:D
Kanga huwekwa green grams kwa maskio ili zisihepe kwa boma… …
Hehe nice place
Hehe nice place