Wazito bana.
Kuna vile nilitoka kwa hii group ya Telegram ya K-Talk si mtu anipee link tafadhali
Nimemiss hizo vitu kali.
[ATTACH=full]57491[/ATTACH]
:D:D:D:D:D:D:D
mambo ya telegram tulifunga kijana
Same as Me.
Kuna jamaa wa viashara hapo ningetaka pata contacts nzao.
Tafuta K-Talk⦠Ingia
Mukamba detected
Vijana wamehara kwa telekram ya tikteta local content Siku hizi hamna.
Telegram ya tikteta nilijitoa nilipoona kadame kamoja kalikuwa ka student wangu nikiwa campo.
Why would that make you leave?
It felt awkward.