Telegram

Wazito bana.
Kuna vile nilitoka kwa hii group ya Telegram ya K-Talk si mtu anipee link tafadhali
Nimemiss hizo vitu kali.

http://www.kenyatalk.com/index.php?attachments/bingwa-png.56315/

[ATTACH=full]57491[/ATTACH]

:D:D:D:D:D:D:D

mambo ya telegram tulifunga kijana

Same as Me.

Kuna jamaa wa viashara hapo ningetaka pata contacts nzao.

Tafuta K-Talk… Ingia

Mukamba detected

Vijana wamehara kwa telekram ya tikteta local content Siku hizi hamna.

Telegram ya tikteta nilijitoa nilipoona kadame kamoja kalikuwa ka student wangu nikiwa campo.

https://telegram.me/joinchat/BzrjgUAYAG210fBJm4hrrw

Why would that make you leave?

It felt awkward.