Telegram Ktalk group

Niongezwe tafsali… Dennis…

Remove your number pls kabla utafutwe na ufunguliwe boot na @…

1 Like

NV tegea uletewe kiti kwanza

Hata akitoa Na wewe usham-quote… Toa yako kwanza

1 Like

Done. Anyway let me help this NV.

Nugu, saitan! Unaeka namba ya ule msee alikukamlia dem apa ukitaka nini ifanyike…? Lakini kama ni namba yako wacha nikuitie pombe a.k.a @Rum akusaidie angalau akuelimishe namna za wazee na kuwa incognito.