Telcom rada swaafeeee

Bana mbona hamkusema hii ndio baze ya offers…
Nimeshinda nikitumia saf kwa bundles and kuna telcom hapa ivi…

Wait a minute kwanza… kukona hii kitu wanaita wecome bundles… wele wele…
Shait alafu si nimepigia majamaa… nimeongea , nikaongea… nakwambia nimebonga … i say alafu nimebonga… nikabonga … hehh… sawa … na 20 bob tu… na saizi kuna bal ya 19bob… enyewe mimi saizi sio Tuuuuruuuuuruuuu

[MEDIA=giphy]3o7TKqm1mNujcBPSpy[/MEDIA]

[ATTACH=full]191508[/ATTACH]

Bangi ya mchana kama jua imewaka huwanga hivyo.

kwenza night bundles 5gb for 40bob madze…

Cunt relate.

exclusively For Night runners

night shifters kasee…

Faiba 4G for the wins

Ngombe ya Narok kwani uliacha gambling?

@sledge

Fixed.