Janaa tumelewa mpaka asubuhi tukajipata hapa Harrys Tavern banaa polepole sasa bana teargass has taken over the area and we are holed up hapa . hii area ni kama Helmand province pale Afghanistan banaa GSU from aerial eye view nimeona wamechapa majamaa wamekimbia kama wezi na risasi iko all over . ma Black Hawk za sirikali ndio zinazunguka all over the air . kumbe hivi ndio majamaa wa dagoreti wanaonanga moshi . sasa ni kulewa mpaka kesho waheshimiwa tumefungiwa ndani ya bar . hakuna nyama ni kukula chips na zile bogof za jaro soja kama slayqueen . ningepiga picha but simu yangu pawa ikienda less than 20% haiwes piga mbicha . chips haingii na gibleys wacha nimeze tusker na wadau . pics zinakuom . mtu ako around harrys tavern akujie Tusker .
Three threads in a row[ATTACH]141799[/ATTACH] @Ebru has someone trying real hard to get his rep back and hatutaki fisha kama hakuna timestamp na tag…useress meffi
[ATTACH=full]141808[/ATTACH] TMI…but vile hutrip na kucatch ha! inaexplain mbona anacompensate hivi sana na kucreate ‘his magnolia persona with ladies’