Team kienyeji?!

5 Likes

Sasa ongeza chapo

2 Likes

Inaenda poa na ugali.

2 Likes

Thought was sth else. Still nice.

3 Likes

What?

Hii

Labda ile kienyeji imeongezwa maziwa

1 Like

Mmmmh, I see. Sasa nikuje na rice, chapo ama ugali?

1 Like

Chapati and chicken is a suspect mix.

1 Like

Ghoshodo wako na babake @Mikymas wakiwa wapi?! We unajua wivu imepeleka wengi Sayuni in Kenya? Itabidi tukae tuu na MTU mmoja to avoid ending up on the news.

1 Like

Mi ninakuja kama cousin yako..

1 Like

Unataka niachwe na sugar daddy wewe!

1 Like

Hapo umeongea kama Wazee kumi wa Njurî Nchêke

Hapa rais sioni ikitoboa. Form ni moja tu ya ugali.

2 Likes

Siwezimind kapotty aongeze supu na mkojo yake