TBT niliwahi chapwa na student

Back in 2015 was teaching in this school (high) before nifutee on 2017…

So kulikuwa na this form 2 boy mrefu size ya bien wa sauti sol alafu ameunga kimpango Kama kaligrah…

The boy was a heavy marijuana user and I decided to convince the head teacher awe expelled from the school for encouraging other to use bhang …fagiii I even caught him red handed akifunga misokoto ya bangi nyuma ya dining hall …

After expelling him jioni tukitokea tukiwa na mwalimu Fulani tukamuona eriqo the musculine boy riding a bike approaching us …kutufikia akapark bike kando (mountain bike) alafu akakuja ngumi bwegze …nikama alikuwa ame prophecy the coming of bogii ngeje in 2020…

Akarukia Mr. Ndugu na ngumi kadhaa alafu Mimi akanirukia na spear ya Roman reigns kisha nikapelekwa **** city design ya broke lesna , nakumbuka ile teke ya “go to sleep” ya cm punk ikinilambisha vumbi weeeeeh .Mr ndugu akapewa left right kimayweather akaanza kuona dim dim Kama Conor McGregor woiiiiiii tuliokolewa na wanakijiji ambao walipiga nduru kijana akahepa mbio na bike , nilijaribu kurusha mawe ikaningonga vidole za mguu…nguvu nitoe wapi…

Next day tukapewa ruhusa twende tupumzike tuponye majeraha …

Akiiiiiii this students …walifanya morale ya kufunza ipotee kabisa

You snitch on students na wewe pia Ni mvutaji wa fagi?

:D:D:D:D

Hehehe. Ulikuwa na udaku mwingi ndio maana ukalimwa

Hehe :D:D