TBT (how I came to marry Ashley and like rock)

Kitambo nilikuwa mtu wa reggae damu, weekendi ilikuwa ina fika damu ina Anza kukimbia mbio sana, we would buy veve on Thursday evening ama Friday mchana alafu sherehe inaanza hiyo Friday… By then joints za reggae zilikuwa chache. So the only popular place was either Monte Carlo, Achievers, F1 ama York house. We preferred Monte ama York house because crew ya mtaani ilikuwa hizo ma area.

Then came a day beste yangu, anaitwa Steve Mandombolo (alikuwa anaitwa Mandombolo juu alikuwa anajua ku dance Lingala) akanisho kuna reggae fiti area ya Westlandz. Sasa hiyo siku veve imeshika mbaya. Steve akadai lazma tuende hivyo, sisi hao hadi westi hiyo club, ata nime sahau Jina lakini ili kuwa na walami wengi wengi hivi. Pia ratio ya ma dem na machali sio kama ile ya reggae nilikuwa nimeizoea, hizo ngoma zilinistua na nikashindwa watu wanazitambua aje hadi Wana sing along.
Nilitema taxin juu Mandombolo alisema ana meet mlami flani bizz ya maua na vinginezo. I sat on the next table with the mlami’s dem anaitwa Ashley. Sikuwa na any intentions za kwanza talk na huyo dranya. So I just tried nodding my head to the uneven rock beat. She finally decided to start a conversation and she asked me my favorite band. I mistook her question to the reggae genre and confidently said natambua UB40, before letting her utter any word I continued telling her about the Mighty culture na Israel vibration.

She quickly interrupted me by asking me what I’m drinking. “Soda ni Sawa, sitaki handas ishuke” I replied. I was getting impatient and signaled Mandombolo tujitoe…

6 Likes

:D:D:D:D:D:Dhiyo hekaya malizia bana.

1 Like

Ni kama kuna part iko missing. Malizia.

Ulikuwa Bavaria hotel…na hio ni base ya mapoko

1 Like

hekaya poa but we always like the twist in the tale…

1 Like

maliza hekaya, hapa si Kilimani mums tunangoja bits

Sasa juu haukuwa unataka kubonga na dranya hata hekaya hautatupatia?

1 Like

[ATTACH=full]54654[/ATTACH] :confused::confused: [ATTACH=full]54655[/ATTACH]

2 Likes

Then,

1 Like

Let me guess, u were either from, Eastland’s ama Ungems, ongwaro na kibich?

1 Like

maliza hekeya mseh

Mada risto!

@dranya Mimi najua Steve loketo

:D:D:D:D:D
Let’s not pretend, but i never quite took to rock… Especially metal

:D:D

:D:D:D marisia

Ghasia!
Maliza story ama dranya isipande leo…

commer ninner!! maliza stori faga!!

2 Likes

Tunafaa kuwa na dislike button watu wengine kama hawa tunadislike washuke cheo. But only the likes umewai peana count.

Maliza hii story bana…