Hivi vyama vingine haviruhusiwi kurushaatangazo yao TBC au
Maana nakereka ninapo angalia mpira alafu halftime kinyimbo cha ccm na matangazo yao kina pigwa
Mkuu hujui kuwa tuko enzi za chama kimoja sasahivi(chama kushika hatamu)?
Usitegemee habari yoyote mbaya kwa "jiwe’ ikarushwa TBC.
Achana na hiyo TV mkuu.
Mzee Tido Mhando ndie aliejaribu kuifanya TBC kuwa impartial national TV. Leo anashtakiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi kwamba ka-sign mkataba wa ununuzi bila kufuata sheria. Sheria hiyo hiyo ikitumika bila upendeleo alieamuru kujengwa uwanja wa ndege chato ndie hasa angekuwa mahakamani
Hope imeeleweka
TBC wana vimelea vya utaahira.
Napenda nikupongeze kwa uthubutu. Kuangalia TBC ni ishara ya uthubutu, huko wanaoangalia ni wale wanaoamini mwenge unaleta maendeleo.
Hahahah
Kwa hiyo unataka kuniambia Ryoba ni tahahira?
Wewe unavyomuona Ryoba huyu ndiye yule Ryoba wa UDSM? Sifa ya kwanza kabisa ya kuwa mwana ccm ni kujitoa ufahamu
Hivi TBC kumbe bado ipo!!!
Mnaongalia hiyo tv mna moyo sana
Achana nao hao!!!
Sikutegemea upuuzi kama huo baada ya uteuzi wa Ayubu Ryoba hasa niki zirejea makala zake za Rai/Raia mwema.
Kuangalia hiyo TV lazima uwe na roho ngumu sana
TBC ni TV ya hovyo sana isiyostahili kutizamwa na jamii iliyostaarabika
kwani TBC ndo nan jmn!
sehemu kubwa ya serikali bado wako kwenye mfumo wa chama kimoja, wapinzani kwao ni kama waasi hivi
TBC, pumbaaaaavu. Hiyo sio tv bali ni mharo. Hakuna kitu hapo.
TBC ni kituko cha karne
Kuangalia hiyo tv kwa ishu yoyote inahitaji moyo wa chuma
!
!
Fala Kweli Wewe. Bado Unaangalia TBC? Sio Wa Huku Wewe