SIKU chache baada ya Tanzania kunyakua tuzo za kimataifa za Uchumi Jumuishi na Utawala Bora, imepata tuzo nyingine mpya ya kimataifa iliyotokana na kuwa na teknolojia bora duniani.
Tuzo hiyo ambayo Tanzania imepata, inafahamika kama Tuzo za Kilele cha Serikali duniani (World Government Summit Awards) katika kundi la Tuzo ya Teknolojia bora inayoibuka Serikalini (Winner of the Best Government Emerging Technologies Award).
The World Government Summit Awards ceremony honoured 15 winners for innova-tion and technology in five categories and 13 sub-categories. 1) Best M-Government Service Award · UMANG, India · City Mapper, UK · Dubai Police, UAE · My Hong Kong Guide, Hong Kong · EDRAAK, Jordan · Ministry of Human Resources and Emiratisation, UAE · RTE eC02mix, France 2) Best Government Emerging Technologies Award: · National Cities Performance Framework, Australia · Farmer’s Portable DNA Sequencing, Tanzania · AADHAR, India 3) World Virtual Govhacks Award · 1st (Water Safety & Food Security): Clean Water AI · 2nd (Access to Electricity): CYCLE · 3rd (Service Transformation): Smart Tenders 4) Edge of the Government Award: Mobilizing Construction 5) Shaping Future Governments Global Universities Challenge: London Business School