Tanzania Today: WAZIRI NDUMBARO ATETA NA BALOZI WA URUSI(Russia) nchini Tanzania

WAZIRI NDUMBARO ATETA NA BALOZI WA URUSI

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro leo Januari 13, 2025 jijini Dar Es Salaam, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Urusi hapa nchini Mhe. Andrey Evetisyan kujadili mambo mbalimbali ya ushirikiano katika sekta anazozisimamia.

Viongozi hao, wamejadiliana juu ya kushirikiana katika Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) ambayo inaendelea kutolewa kwa wananchi katika mikoa mbalimbali.

Mhe. Ndumbaro amemueleza Balozi Andrey, jinsi wananchi wanavyonufaika na msaada huo katika upatikanaji wa Haki katika maeneo mbalimbali yanayowakabili.

Waziri wakula…mbona uchoyo yeye pekee anachakula

In a hungry country like Kenya, food is the priority at the meetings.

Boy wa Putin Niko ya huyo waziri.

You live in an imaginary world. Wake up from the dream, you will pee yourself

1 Like

@255 anauza mcoondur chafu yenye mabaki ya sukuma tzshs 50/= pale tanga . After @GituK7 fisted him with a hosepipe it was corroded as if it was emersed in concentrated sulphuric acid because the mbwa @255 feeds on forest vegetables. The stupid dog is also very much hiv positive

1 Like

Msenge kafirwe na mama suluhu na dildo kwenye mkundu.