As part of the new restrictions(that gives officials unfettered powers to police the web), the government must certify all bloggers and charge an annual license fee of over $900. Those defying the new orders face fines starting at five million Tanzanian shillings ($2,200) or a year in prison.
Thats just shit hole country…
Here in Kenya don’t we have such law? I remember few days a go President Uhuru signed a bill for cyber crime.
Chalii that’s an insult. Hello Hello, I am a Tanzanian joined today and would appreciate a welcome from Kenyan brothers and sisters
wewe ni Mkwepa Kodi?
Usijaribu kuitukana Tanzania, lzm uiheshimu nchi na watu wake,once mambo kama hayo yakitokea blame the government na tukana unavyoweza lkn usiitukane our beautiful land of Tz.
By the way mimi ni mgeni hapa tutakuwa pamoja!!
Kuwa makini buda, kenya hamko salama! Hii inaweza kuchukuliwa kama hate speech na ukaishia kulipa Ksh. 5m au kutumikia kifungo cha miaka 10 jera.
Hizo ni sheria mpya za Kenya kama hujui.
The country is good, the government and ruling party are bad.