UWANJA WA DODOMA: “…..ujenzi umefikia asilimia 2…”
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa anaeleza maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa michezo wa Dodoma, akianza na sababu za kuchelewa kwake…
Msigwa pia anaweka wazi maelekezo aliyopewa mkandarasi ikiwemo kutoa ajira kwa wataalamu wa ndani, kumaliza kazi kwa wakati na kujenga uwanja wenye hadhi ya makao makuu

