Tanzania: Maxence Melo (Mmiliki wa Jamii Forums) na DW Swahili, kwa hili mjitafakari!

Mmiliki wa JamiiForums, Maxence Melo inabidi ajitafakari kwa kutoa taarifa ya uongo katika mahojiano yake!
[ul]
[li]Amesema kuwa hawajawahi kupewa taarifa na TCRA, Je, yeye kama mdau wa media na mmiliki wa Forum huwa anafuatilia taarifa zinazoendelea kutoka kwa Regulator wake?[/li][li]Vipi kuhusu kesi yake aliyoifungua Mtwara na Helen Kijo-Bisimba walikuwa wanapinga nini?[/li][li]Katika taarifa yake juu ya kusitisha huduma katika forum yake anasema ni ghafla, vipi kuhusu wadau wengine wa media walitoa wapi taarifa juu ya kusijajili katika mamlaka hiyo?[/li][li]Maxence Melo acha kuupotosha umma kwa kutaka cheap popularity! Kutaka kuichafua taswira ya Tanzania kwa vipande vya fedha ni dhulma kwa wananchi![/li][li]DW (Kiswahili) mahojiano yenu hayako balanced, kwani hamjataka kufanya interview na regulator ili kupata proof ya alichokiongea Maxence Melo. Hata tu kufanya uchunguzi endapo kuna taarifa ilitolewa kabla kuhusu alichokieleza Maxence Melo.[/li][li]DW News this is not ethical, you are just doing all these shits to destroy the good image of our country.[/li][li]The regulator (Tanzania Communications Regulatory Authority - TCRA) should also take action on banning your media in our country, and completely ban all your allies especially JamiiForums.[/li][li]Ni kweli Max umeshindwa kulipa pesa hiyo ambayo haijai hata kibaba ukilinganisha na matangazo unayoyapata yakiwemo mengi ya Serikali (ambayo anasema inamminya kusambaza chuki) na kampuni binafsi.[/li][/ul]
Max inabidi utubu kwa dhambi uliyowatendea Watanzania, Uongo ni dhmabi hata vitabu vya dini vina tuasa.

Ngoma inogile

wajinga ni wengi sana wa aiana hii ya @M4C IN BLOOD

Hivi umesoma hiyo sheria na ukaona tatizo ni hela?

Hakuna analojua huyo

Hata kwetu walikuwepo naona wamehamia huku.

MC4 IN BLOOD tumekuelewa inatosha wenzio tumechoka kukimbia kimbia home sweet home bwana …sheria unayoipigania wewe huijui mi sitaki nipangiwe cha kupost maana hata jiwe hapangiwi cha kufanya.Na isitoshe mazungumzo ya kupangiwa cha kuongea sidhani kama yatakuwa yanakosoa labda kusifia tu.

We jamaa ni mshenzi sana nadhani hujui hata unachokieleza ni kipi aisee

DW imekua against the government since day one sielewi hawa wadachi wanamtaka nini JPM kuanzia cartoons zao and everything kazi yao ni kuiponda serikali ila nao dawa yao inachemka

I’m an alien in Kenya.

Sikuwahi kuwaza kama ipo siku nitaonja ladha ya kuwa mkimbizi, leo imekuwa.

Embu ficha ujinga wako wa kiccm nchi za watu acha kutuaibisha watz wenzako bana

Mleta mada wewe ni zuzu, tena zuzu mkuu kama jiwe.

Jinga kabisa mtoa mada

we kichaa kaa kimya

Kazi ipo

Wewe mchumia tumbo toa utumbo wako hapa

mtoa mada wewe una yako nadhani,

mbona unahangaika sana jf wakat max katii sheria? Zimo kichwani kweli wewe?

Maxence anataka popularity tena? Hebu mtake radhi ndugu…

Kuhusu ghafla naamini alikuwa anazungumzia tamko lao lililopelekea jf kufungwa.

Na kama regulator TCRA walipaswa kuapproach wadau na si kutoatoa tu makanuni na matamko yanayotuumiza wananchi na watoa huduma.

Unataka JamiiForums ifungwe wakati uko hapa ukiexercise freedom of speech kwenye forum ya ugenini. Kitu ambacho na wao wanakipigania.

NB: Maxence anawapigania hadi watu kama wewe. Mola akusamehe.

Ukiona mtu anashabikia kupangiwa cha kuongea basi jua katumwa au anafaidika nacho

Hmm! Kaazi kwelikweli!..