Tanzania: KUTANA NA MTANZANIA WA BOEING ALIYESAIDIA KUITENGENEZA 'DREAMLINER'

https://www.youtube.com/watch?v=4yjJ5Aq1k_0

Huyu ndiye George Jonas, mhandisi wa Kitanzania anayefanya kazi Boeing, aliyesaidia kutengeneza ndege mpya ya #AirTanzania ya 787 Dreamliner iliyowasili nchini Jumapili. Yupoje hasa? Safari yake ya maisha imemfikishaje hapo? Wajua alipopitia? Tazama VIDEO upate simulizi kamili ya maisha yake… #ATCL

:D:D:D:D:D:D

iyo ni udaku

Kijana sikiliza interview. Achaneni na mambo ya kizamani. Wakenya bado washamba sana.

:smiley:

Jonas ako na script kama ya our very own Grand Pricks master Mbogo

https://www.youtube.com/watch?v=vBq9xqgcxWc

we hujui chenye unasema

Tatizo wakenya ujinga umewakaa sana. Nimekuwekea video kwanini usiisikilize?
Listen the video na utajua sasa watanzania ni watu wa namna gani.

mnakuwanga na ufala

Kwani hatutapumua ka sababu ya hii ndege moja refurbished.

wewe mjanja hadi ukaamka usingizini umejaza threads mtu anaweza dhani ni fleet ya boeing mia saba kumbe ni kaboeing kamoja!!

@T255 you are trying too hard. relax.we get it. YOU GOT A BOEING. loud and clear

[ATTACH=full]182679[/ATTACH]