Tanzania kuanza kuzalisha umeme wa upepo- Makambako

http://www.theeastafrican.co.ke/business/Tanzania-signs-deal-to-build-first-ever-wind-farm/2560-4618632-70ya61z/index.html

Vipi na ule mpango wa kuzalisha huo wa upepo kule Singida ulishakufa?

Ni jambo zuri…

Opportunity ya wind mills hiyo

Kuanza kuzalisha au kuwaza kuzalisha

jambo la heri hilo pongezi kwa Serikali

Ndio nazidi kuamini kua hii serikali kweli ni ya UPEPO

Old plan for Wind Farm Power

Tuendelee kusubiri

Mipango Tanzania ipo mingi sana, shida ni utekelezaji. Hata huu utabaki kwenye makaratasi

Tunaelekea nchi ya ahadi

Sio kipaumbele cha wapigaji.

Wapigaji hubuni miradi mikubwa ili watupige vizuri.

Itapendeza sana…

Cc: @Mahondaw