[ATTACH=full]179181[/ATTACH]:D:D[ATTACH=full]179181[/ATTACH]
:D:D:D:D:D Wacha tujifariji ili kupunguza maumivu ya vyuma…
Si wanasema watu wanakufa halafu wanazaliwa Tena? Labda hiyo ni kabla Tanzania haijafa mara
ya kwanza.
Sio mchezo yaani Tunisia imekuwa Tanzania!?
Kwa hiyo Tz jana imebugia goli tano…
tbc wanaweza kuitoa katika taarifa za michezo!
Hahah!!!