Tani 76 za Rhodolite zataifishwa Tanzania (East Africa inajenga uchumi wake)

Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS) katika vipindi tofauti kati ya mwaka 2017 na 2018 imeendesha kesi mbalimbali zinazohusiana na Utotoshaji au kukutwa na madini bila kuwa na kibali. Katika uendeshaji wa kesi hizo,Washitakiwa walitiwa hatiani na kuamriwa kulipa faini aua kutumikia kifungo gerezani pamoja na amri ya kutaifisha madini na fedha walizokamatwa nazo wakati wakisafirisha madini hayo. Madini yaliyotaifishwa ni Kilo 25.546 za dhahabu, zaidi ya kilo 76.020.20(Tani 76) za Colored gemstones, Tanzanite pamoja na fedha za kigeni za mataifa mbalimbali kumi na tano (15) zenye thamani ya TZS 1,023,608.515.12

NB:
Price of Rubellite is $400 to $1,000 per Carat
[ATTACH=full]245514[/ATTACH]

Tani 76 = 76x1000x1000x5 Carat
= 38,0000,000 carat
38,000,000 x $600 = $228,000,000,000

https://www.youtube.com/watch?v=kwkpHrgQ96M

https://www.youtube.com/watch?v=fn9W2syXaLs

Zitto Kabwe for President

Pwahahaha!!!
Kila mtanzania anayohaki ya kugombea. Hata Zitto anyohaki.
We have Voting and Vetting.

Harrasing anyone who’s opposed to CCM ndio kuwa na haki ?

Why did CCM/ police take over his social media accounts ?

Huwezi elewa siasa za TZ. Concentrate with your politics.

Tanzania is far far ahead of you.
CCM is a oldest and strongest political party in Africa.

ile cku mtafunguka macho… ama wacha 2

Kumekucha bado?
[ATTACH=full]245587[/ATTACH]