talkers

mko wapi?mimi niko kahuruko bar

Wrong forum… Bar hufungwa saa tano… You got exactly five minutes to pack!!!

6 Likes

Wewe huingia dame/chali na CD ama ni nyama kwa nyama?

3 Likes

mwenyewe ni polisi na tunakunywa na mapolisi

1 Like

Wewe huingia pub na panga, kama maasai? Ama unakatazwa

Ulipatia dem date hapa Saape TRM, alafu anakula air burger.
[ATTACH=full]19698[/ATTACH]

2 Likes

saa hii niko na kimathyokore

1 Like

:D:D:D:D:D:D:D
wakameat chinja hawa watu

2 Likes

huyo ni @Nefertities

1 Like

Chali ni aunty yako.

1 Like

[ATTACH=full]19699[/ATTACH]

1 Like

Wali watch arsenal match bila hata kubuy maji. Nkikula half time snack (fish fingers ivi) wanameza mate.

3 Likes

@Akeelah, my bae nakuja

1 Like

hio inatoka pesa ngapi?

hehehe

600:D:D

hio avatar ni ya kaploti yako

he he he,hio sio bei kali sana,siwezi nunua imepitisha 1000

hapana hapo nimeanza kazi ya care taker juzi

2 Likes

i dedicate this song to my lovely Akeelah,it’s real love, by dolly and kenny roger

2 Likes