[ATTACH=full]234725[/ATTACH]
Hii tuliona kama wewe bado ni kivese :D:D:D
Warogi
Nice and polite, you gotta love Tanzanians.
TZ inabidi ulipe ama ukule nyasi
@introvert unatusumbua meffi wewe
Kunywa guarana Rico pub polepole Kidinyi. Mefiii
NV ntakukamua mkia utulie
[ATTACH=full]234753[/ATTACH]
Uko sawa mzito?
Niko ngangari
:D:D:D:D Sounds hilarious. Kwani TZ hakuna an equivalent of CRB ama threats za tracked at your own cost? inabaki tu kupigwa hadi kuchakaa