Taarifa kwa Umma: Wakufunzi kutoka katika chuo cha Colorado Denver wamekuja MOI kutoa mafunzo

MBINU MPYA ZA UPASUAJI WA UBONGO, MGONGO NA MISHIPA YA FAHAMU.
Wakufunzi kutoka Chuo Kikuu cha Colorado Denver, U.S.A wamekuja MOI kutoa mafunzo kwa madaktari na watumishi wengine. Mafunzo yanayohusu matumizi ya 'Ultrasound ’ na darubini ya kisasa ‘Neuromicroscope’ ktk upasuaji.

Wewe mwifwa ni medical doctor ?

Mwifwa are you a medical doctor?

Nimetoa tu taarifa maana nimeipata sehemu, mimi sihusiki

Unahusika vizuri sana wewe mashinji

Kama ni hivyo, basi Dr. Bashiru, Dr. Mwigulu, Dr. Magufuli, Dr. Kikwete nao ni medical doctor

Umeshaanza kujing’atang’ata mashinji

Sawa bana Polepole maana wewe akili yako ushaiweka kabatini Lumumba, hauhitaji tena kuelewa

Hahahahaaaaaa! hapa umempa dawa mkuu

hahaha

:p:p:p:p:p:p

:p:p:p:p:p:p

Inapendeza…

Cc: @Mahondaw