[ATTACH=full]491304[/ATTACH]
Try flirting/kuomba sehemu nyeti in Swahili ndio utajua.
Kwani mashoga na wasenge huwa different groups?
You’re the one taking offence! Why do people get angry when they are told mamako or nyanyako yet those are the correct references for your mama and grandma in Swahili?
Najua hata wewe unafeel hiyo ni matusi
Ni ujinga tu. Mzae akikushow “Kijana jioni umuambie mamako akupe bla bla bla uniletee sebuleni”, hutajam. Lakini mkiargue na mtoi wa irani mkiwa 8yrs akushow mamako, unaweka slippers chini na kumwekelea kofi ya kimataifa!
:D:D:D:D:D wasenge na mashoga hawapendi kuingiza mboro zao ndani ya kuma . bali wanapenda kutomba mikundu
Kiswahili tukitukuze @T255 tupe maoni
Ni vile wametumia msamiati duni kwenye hii ripoti. Kiswahili mufti ni lugha yenye urembo na utamu sana. Sauti na matamshi ya yule anayezungumza pia zina umuhimu sana. Kama ungesikiza watangazaji wa kitambo, zama za akina Hadija Ali, Amina Faki, Said Ali Matano na wengineo, hungesema hivi. Hata ukiweza kukutana na wataalamu wa kisasa, watu kama Mashirima Kapombe, utaona kuna tofauti.
By the way, every language is beautiful–it can be, because speech, as writing, is an art.
Not crude. The message being passed here is irritating the writer too.
Kiswahili kitukuzwe bana.