Supper

Ktalkers, karibuni supper ya leo

http://www.enchantedlandscapes.com/wp-content/uploads/2014/07/sukuma-ugali-790x493.jpg

4 Likes

Kwani bell ya supper ime ring already?

7 Likes

Too plain…

Siku hizi kamiti wanapikiwa food poa aje…

15 Likes

na wanakubaliwa kupiga picha, kweli kuna prison reforms

8 Likes

na kweli ni january…tunakula skuma ugali na imagination ya nyama:D…ukikula nyama wewe ni illuminati

5 Likes

Lakini kukula ugali na kijiko ni ushogo

2 Likes

Kwani nyuki hukula ugali na skuma

Nzi ya yellow wapi avocado

[ATTACH=full]26936[/ATTACH]

15 Likes

Wamesema kwa gazeti ya leo (DN Pg9) eti sukuma wiki ya nairobi ni poison:(

1 Like

Hapa sawa

[ATTACH=full]26940[/ATTACH]

3 Likes

He he he

hiyo ni ugali au ni wembe ya white?

2 Likes

I rem wen i was in high school tulikuwa tunakula izo vtu raw…anyone alisomea Kangundo High school

1 Like

hehehe…

Njaa ya ukambani inaweza
Fanya ukule anything

3 Likes

@Wakanyama yaani huko hapa na hutu katii hata kanyama kwota? kweli wewe ni mgumu. Nitakulipa kale ka deni ka quota sato

wacha wimbi yako

sina pesa ya spaghetti na @Wakanyama quota … kumbuka ni Januari

I like the way you behave … very mature. Sii kama these male ktalkers fellows