Summer bunny rant

Wadau nmerudi.

Wapi msupa wangu, the one and only, my Finest Ratish? @Ka-Buda bado uko na mashida na ma baby mamas? Pris hizo mashakura zako kaa nazo, my @Miss Randan hazipendi na sio tafathari, ngui. Alafu naskia kuna khasia inaitwa @uwestikteta alikuwa akinyemelea kitemeo changu. Qumanina zake.

Mujamaa wa Thika road pale Kimbo aka @Mathice uliacha ufala? @pseudonym ule mmama nmekumis aki, najua @VC ameshindwa kuweka wewe dumbo kwa hio turera yake, meffi yeye. Ule @Pseudonyms mbaba tulia for now I dont do mafadhela, chyeth. Anyone ambaye yuko over 80 years na bado akona pang’ang’a kwa hii kijiji coomernina zake. Pris mwarimo @gachui I knw bado haujakaribia hio mamiaka so tuliza makagary. And btw ule mod aka master feelings kwani atabaki kuwa new villager adi lini, mujamaa wa diaspora utahama lini?

@Idi adnim , pris pris weka bash kama ile ya prodigal sun to welcome me back. Mpokee salamu kutoka kwa ndugu yetu @Lab pale kwa Abdul, though ameshindwa kukamua ngamia. Ile mungiki mikora ilijificha sikuiona huko. @Mujamaa wa mitura najua uko hapa na multi handle zako, tafuta ule midget @KaRadar_ aka @Panyaste mkam wote nwachape gujru. Na usiniulize hio ndo nini ju hata mi sijui.

Mandugu zetu wa bongolala land wajambo lakini, tafasali msituletee viswahili mingi hapa. Hio bra bra bra hatutaki kuskia. @Baba Ochi inafaa tuonge, kuna nduthi zangu mbili za boxer uncle Thio amekojolea zinafaa kupigwa overhaul. Ndakutafuta alafu ukimaliza unichoree kikaragosi ya @Fala fulani sawa. Na mkiona huyo ango yangu fake aka @Uncle Thio , mleteni hapa ajibu maswali. Afisa @pamba najua by now umeshiba hongo, acha na sisi pia tuenjoy kufanya makosa bila kulipishwa VAT.

Kwa wale mafala walijaribu kuua Kush pale kenyaspot, karma was an instant bitch. Hata kwa ngoongle hio kenyaspot yenu ni khalas, haipatikani. Ndugu Bingwa I respect you. Though u tried to bring me back with one of your many handles, you did a poor job at that so kubaff. Alafu @Nyarwath thanks for keeping the hekaya spirit going.

Finally my sweetheart, the only bean in my githeri infact my one and only paracetamol, your Whiz Khalifa is here. Kitambi nlipunguza. Aki ile kamuti mweni aka @Chloe sister ya @vuja de aliniwekea kwa mucakwe haikuwa mchezo I swear. Made me almost forget you, sikuwa na plan ya kumbinja, ni yeye aliniweka box. I was lost then but now am back. Back to Muchatha the place where we belong. Tafasali @Padre kam re-bless our reunion just like you did the first time pale jadeed desert. Ni hayo two kwa sasa.

Who are u again? Usiwai nitaja tena umeskia nguruwe

kuria yule momo usitusumbue na hakuna mafuta Kenya.

Kanono acha ufala, you had gone nowhere lakini salimia uncle Thio sana mende hii.

@Uncle Thio wacha kujiongelesha…

Hapa kwetu hakuna mafuta, UG M7 alifinya Bobi wine magagari ameenda US for specialized treatment, wabongo walifungiwa na Magufool for a few days wakaleta kiswahili mingi hapa. WSR ni kama anarukwa na akina… you know them. Baba ako holiday awaiting retirement. I still have one ball.

@kush yule mnono makagaary mwagilia mkia maji itulie after kuingiwa na Abdul kule desert.

@kush yule mnono leta hekaya ya ulikotoka. Na utueleze kama ulikuwa wafikisha threshold.

@kush yule mnono crinkum-crankum zako tulikua tumezihata… Abdul amekufungulia kutoka kwa oil rigs!?

Uzuri wa kuwa mtu low key jina lako huwa hali taja tajwi ovyo ovyo

Kanono, angusha hekaya moja.

Niaje @kushngui

While you were away, Jubilistians realized…

[ATTACH=full]191326[/ATTACH]

Apana…priss tafuta mwingine. I moved on kitambo sana. I got tired of waiting for you, got tired of defending your handle from online ‘murderors’, got tired of being told I murdered you by your classmate @kasaman… na mengine mengi. Jipange. BTW I changed my handle pia.

Mwenye ile paka ulichoma anakungoja mujamaa

kwani Oman hakunanga signal ya kenyatalk?

Oh, here comes Wanking Chairman!

kuria karibu,ingia hapo red lion upewe mbili on my bill

Welcome back

He also changed to uncle thio
Welcome back mkubwa…just met Mr Ntaho today at Ngara