Suggest A Presidential Candidate & Running Mate To Challage Conman Ruto & Co. In 2027

Matiangi used to be the first name to come up but recently his image has been tainted by his past deed of disobaying court orders and River Yala bodies, so this begs the question, WHO CAN AKE ON JSKS IN 2027?

  • MORARA & KASMUEL can make good running mate for a candidate such as Omtata
2 Likes

Okiya Omtata+Martha Karua/ Wanguku :white_check_mark:

Mukhisa Kituyi+Gathoni Wamuchomba/Wanjigi/Kabogo :white_check_mark:

Kivutha Kibwana+Natembeya/ Babu /David Ochieng :white_check_mark:

Ruto/ Rigathi/RAO/Mudavadi/Wetangula/
Sakaja/ Kalonzo/Matiangi :put_litter_in_its_place:

1 Like

Okiya Omtata+Martha Karua/ Wanguku :white_check_mark:

Mukhisa Kituyi+Gathoni Wamuchomba/Wanjigi/Kabogo :white_check_mark:

ONDOA KABOGO, BABU OWINO NA WANJIGI KWA HIYO LIST

Kivutha Kibwana+Natembeya/ Babu /David Ochieng :white_check_mark:

1 Like

Kivutha / matiangi / martha / Boniface / jalang’o / morara..

KIVUTHA & MATIANGI have a some sort of record… (the rest ni positive politics)…

Jalang’o pia ame jenga or rather ame upgrade schools.. Nd few feeder roads…

1 Like

I’d prefer the first “formation”
Martha karua and Omtata

Sijaona elders hapo, hatujuamini?

How about @rexxsimba and @Ndindu.

1 Like

Morara riggy

1 Like

Kwanza pendeni nchi yenu na vyote vinavyoihusu nchi yenyewe, ikiweko pia kuwapenda wananchi wenzenu, wawe wezi ama makasisi, ili mapatano yapatikane. Ikubalike kwa kila mmoja kuwa hakuna aliye mwema kuliko mwenzake.

Pili, mbadilishe katiba. Maradhi ya nchi yenu yanatokana na hii katiba yenu mbovu na yatatibiwa kwa kuikarabati kwa kiasi kikubwa ama kuibadilisha yote kabisa!

Tatu, ifahamike kwamba Kenya hamna “mkubwa” anayeweza kunguruma akasikika kama vile Magufuli ama Kagame. Mnawadharau wenzenu wanaojitokeza kuwaongoza hata kuzikosea heshima idara na ofisi zenu mahsusi zinazokaliwa na hao mnaowachukia. Kubalini kwamba hamuwezi kuwa wakubwa nyote pamoja kwa wakati mmoja. Aliyeibuka kama kiongozi, awe wa nyumba kumi, mzee wa mtaa, chifu, rais…, kiongozi awaye yeyote awezeshwe na kupewa nguvu na nyinyi wananchi na katiba yenu madhubuti. Mnapowatukana na kuwavamia manyumbani kwao kwa sababu mmewashuku kwa hili ama lile mnawavunja moyo na hawatafanya kazi yenu sawasawa.

Nne, fanyeni makadirio ya mpaka hapo mlipofikia mwoone mafanakio ama hasara gani mmepata kwa kufanya mambo yenu vile mnavyofanya ili mjue ni kwa njia gani kila mmoja wenu atabadilika kibinafsi. Chukia anayeita maandamano na uharibifu wa mali na biashara za umma kama unavyowachukia wanaojihusisa na kufanya ufisadi. Unapojipata kwenye hatamu za uongozi usiibe, na sisi tusikushuku bila sababu. Tujiwekee jukumu kwamba sote tunataka nchi iendelee. Tusieneze uongo kuwahujumu wenzetu. Tukatae kudanganywa na kasisi kama tunavyokataa kudanganywa na jambazi. Haki itembee.

tano:- go kill yourself.

1 Like

You need to change the constitution first so that I can do as per your wish. Right now it’s illegal to kill.

suicide is not an offence.

I know that it will take you eons to internalise such a concept.

Go kill yourself.

Morara and Kasmuel don’t have the moral muscles and will to resist the billions that fly around during campaign season.